Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwenyekiti wa Makampuni ya
SUNSHINE GROUP, Betty Mkwasa wakati alipotembelea mtambo wa kusafisha
dhahabu wa Sunshine Mining Limited uliopo Chunya.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka Dennis Dillip ambaye ni
Mjiolojia kuhusu mtambo wa kusafisha dhahabu wa kampuni ya Sunshine
Mining Limited uliopo Chunya wakati alipoutembelea Agosti 1, 2017.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla wakipata
Maelezo kutoka kwa Afisa Madini wa Mkoa wa Mbeya Mhandisi Said Mkwawa
kuhusu taarifa za Kampuni ya Sunshine Gold Mininga Limited wakati
alipotembelea mtambo wa kusafisha dhahabu wa kampuni hiyo wilayani
Chunya.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia wimbo maalum unaozungumzia utendaji wa
Serikali ya Awamu ya Tano ulioimbwa na Kwaya maarufu ya Kiwete katika
mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri Mkuu kwenye uwanja wa Sabsaba
mjini Chunya
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa
Sabasaba mjiini Chunya Agosti 1, 2017. Alikuwa katika ziara ya mkoa wa
Mbeya.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea mkuki kutoka kwa Mbunge wa Lupa, Victor
Mwambalaso ikiwa ni ishara ya kusimikwa kuwa Chifu wa makabila ya
Wakimbu na Wasafa katika mkutano wa hadhara aliouhutubia kwenye uwanja
wa Sabasaba mjini Chunya Agosti 1, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment