Saturday, July 25, 2020


1.  TAARIFA ZA ASASI

Tuelimike ni Asasi isiyo ya kiserikali inayofanyakazi Wilaya ya Mpanda Makao makuu yake yapo Kijiji cha Isanjandugu, Kata ya Nsimbo Halmashauri ya Nsimbo Mkoani Katavi imesajiliwa kwa namba 16NGO/00005237 chini ya sheria ya mashirika yasiyo ya kiserikali No. 24 ya mwaka 2002.
Tuelimike inalenga kuiwezesha jamii kupata Elimu ndani na nje ya darasa ili kuweza kukuza uelewa  katika mazingira yanayotuzunguka hasa maeneo ya vijijini kwani
Dira kugusa anga za maarifa na kubadilishana uzoefu kujenga uwezo wa watu wa rika zote kama kipaumbele cha kupata mabadiliko chanya.



Dhima kuangalia jamii vijijini kwa kutumia maarifa katika kuleta mabadiliko katika mipango ya kimaendeleo kwa kutumia fursa na maarifa kama njia ya kupunguza umaskini uliokithiri kwa kushirikiana, kujiamini na kithubutu.

2.   TAARIFA ZA WABIA WA MRADI
Mradi huu  wa kilimo cha umwagiliaji kwa njia ya matone ni mradi unaofadhiliwa na umoja wa Africa (AU) kwa kushirikiana na Umoja wa Ujerumani  kupitia kitengo cha
AGYI_IF (African German Youth initiative- innovation Fund) mradi huu unatekelezwa katika nchi tano za Afrika ambazo ni Tanzania, Afrika kusini, Ghana, Togo na Benin.

3.   TAARIFA ZA MRADI
Mradi wa umwagiliaji kwa njia ya matone (Drip Irrigation) ni mradi unaotekelezwa na Asasi ya Tuelimike katika Halmashauri ya Nsimbo hasa katika kata ya Nsimbo na Uruwila.
Mradi huu utaanzisha shamba darasa eneo la Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Msaginya.

4.   MALENGO
Mradi huu unalenga kuwawezesha vijana wenye umri kuanzia miaka 18 hadi 35 wakazi wa Halmashauri ya Nsimbo ikiwa ni kuwataka wawe vijana wenye kujishughulisha katika kujitafutia kipato kwa kutumia rasilimali ardhi iliyopo katika maeneo yao.
Mradi huu utawezesha vijana kuiga kilimo cha umwagiliaji kwa njia ya matone.

5.   MAENEO/SHUGHULI ZA MRADI
Mradi huu utajikita kuwezesha vijana kwenye kilimo cha mbogamboga kama vile kabeji, pilipili hoho, nyanya na vitunguu maji kwa kutumia umwagiliaji wa matone.

6.   UTEKELEZAJI WA MRADI
Mradi huu utatekelezwa kama ifuatavyo;
1. Kutoa mafunzo kwa vijana kumi (10) watakao kuwa wawezeshaji kwa vijana wengine.
2. Kutoa mafunzo ya ujasiliamali katika kilimo
3.   Kutoa mafunzo ya vitendo kwa vijana arobaini (40) kuhusu kilimo cha umwagiliaji na namna ya kuandaa mifumo ya umwagiliaji
4.   Kuunda mtandao wa vijana wanaojishughulisha na kilimo cha umwagiliaji
5.   Kuanzisha shamba darasa la kilimo cha umwagiliaji
6.   Kuwakutanisha wakulima vijana na wadau ambao ni Taasisi za fedha, Wauzaji wa pembejeo za kilimo na Wafanyabiashara watumiaji wa mazao ya bustani.


Mawasiliano





Asasi ya Tuelimike
S. L. P 200, Mpanda -Katavi,
Simu:+255753391418/+255784981889
Email:twelimike@gmail.com





Friday, July 24, 2020

KILIMO CHA BUSTANI


1.  TAARIFA ZA ASASI

Tuelimike ni Asasi isiyo ya kiserikali inayofanyakazi Wilaya ya Mpanda Makao makuu yake yapo Kijiji cha Isanjandugu, Kata ya Nsimbo Halmashauri ya Nsimbo Mkoani Katavi imesajiliwa kwa namba 16NGO/00005237 chini ya sheria ya mashirika yasiyo ya kiserikali No. 24 ya mwaka 2002.
Tuelimike inalenga kuiwezesha jamii kupata Elimu ndani na nje ya darasa ili kuweza kukuza uelewa  katika mazingira yanayotuzunguka hasa maeneo ya vijijini kwani
Dira kugusa anga za maarifa na kubadilishana uzoefu kujenga uwezo wa watu wa rika zote kama kipaumbele cha kupata mabadiliko chanya.



Dhima kuangalia jamii vijijini kwa kutumia maarifa katika kuleta mabadiliko katika mipango ya kimaendeleo kwa kutumia fursa na maarifa kama njia ya kupunguza umaskini uliokithiri kwa kushirikiana, kujiamini na kithubutu.

2.   TAARIFA ZA WABIA WA MRADI
Mradi huu  wa kilimo cha umwagiliaji kwa njia ya matone ni mradi unaofadhiliwa na umoja wa Africa (AU) kwa kushirikiana na Umoja wa Ujerumani  kupitia kitengo cha
AGYI_IF (African German Youth initiative- innovation Fund) mradi huu unatekelezwa katika nchi tano za Afrika ambazo ni Tanzania, Afrika kusini, Ghana, Togo na Benin.

3.   TAARIFA ZA MRADI
Mradi wa umwagiliaji kwa njia ya matone (Drip Irrigation) ni mradi unaotekelezwa na Asasi ya Tuelimike katika Halmashauri ya Nsimbo hasa katika kata ya Nsimbo na Uruwila.
Mradi huu utaanzisha shamba darasa eneo la Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Msaginya.

4.   MALENGO
Mradi huu unalenga kuwawezesha vijana wenye umri kuanzia miaka 18 hadi 35 wakazi wa Halmashauri ya Nsimbo ikiwa ni kuwataka wawe vijana wenye kujishughulisha katika kujitafutia kipato kwa kutumia rasilimali ardhi iliyopo katika maeneo yao.
Mradi huu utawezesha vijana kuiga kilimo cha umwagiliaji kwa njia ya matone.

5.   MAENEO/SHUGHULI ZA MRADI
Mradi huu utajikita kuwezesha vijana kwenye kilimo cha mbogamboga kama vile kabeji, pilipili hoho, nyanya na vitunguu maji kwa kutumia umwagiliaji wa matone.

6.   UTEKELEZAJI WA MRADI
Mradi huu utatekelezwa kama ifuatavyo;
1. Kutoa mafunzo kwa vijana kumi (10) watakao kuwa wawezeshaji kwa vijana wengine.
2. Kutoa mafunzo ya ujasiliamali katika kilimo
3.   Kutoa mafunzo ya vitendo kwa vijana arobaini (40) kuhusu kilimo cha umwagiliaji na namna ya kuandaa mifumo ya umwagiliaji
4.   Kuunda mtandao wa vijana wanaojishughulisha na kilimo cha umwagiliaji
5.   Kuanzisha shamba darasa la kilimo cha umwagiliaji
6.   Kuwakutanisha wakulima vijana na wadau ambao ni Taasisi za fedha, Wauzaji wa pembejeo za kilimo na Wafanyabiashara watumiaji wa mazao ya bustani.


Mawasiliano





Asasi ya Tuelimike
S. L. P 200, Mpanda -Katavi,
Simu:+255753391418/+255784981889
Email:twelimike@gmail.com





Monday, April 29, 2019

HARAKATI ZA UHAMASISHAJI USHIRIKI WA WANANCHI KUBORESHA ELIMU

Marafiki wa Elimu Katavi katika ugawaji wa kalenda za Mwaka 2019
Marafiki Wa elimu wakigawa kalenda
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Nsimbo aliyevaa miwani na shati la kitenge akipokea kalenda 10 kutoka kwa Marafiki wa Elimu Nsimbo



Tuesday, November 28, 2017

District councils unite for Gender Sensitive Budgets.

TGNP Mtandao hosted a two days experience sharing session with District chairpersons and mayors from Tarime, Ilala, Kishapu, Morogoro Rural and Mbeya districts as part of exchanging information and strategies on how to develop gender sensitive budgets.
As part of learning, TGNP Mtandao introduced the officials on various gender concepts and key areas that will be more potential when developing a gender sensitive budget, including water, health, agriculture and education.
Speaking during the session, Chairperson of Kishapu district, Mr Boniface Butondo explains on how gender budgeting has solved the problem of girls missing school during the menstruation days due to lack of facilities to cater them in schools such as Sanitary pads and clean water.
“ On our 2017/2018 budget we are fortunate to provide 30 Million as part of helping young girls who cannot afford sanitary pads in school, that has assisted them to attend school without missing, before we had this money, girls used to miss out 3 to 5 days because they lacked such facilities“ He explained.

 Chairperson of Kishapu district, Mr Boniface Butondo speaking during the session at TGNP Mtandao premises at Mabibo, Dsm
Recalling during the 2017 Gender festival, TGNP awarded the districts that managed to include the issue of sanitary pads to girls in schools that being Kishapu district and Kisarawe. This motivated various districts councils to take such step. This was proven by Mr Moses Misiwa Chairperson of Tarime District.
“ I am very excited attend this session, personally i was very inspired by my fellow district councils as we witnessed them awarded by the Vice president during the Gender Festival. As part of learning i would like to promise that this issue of sanitary pads will be included in our budgets, and am confident to say that we can afford that from our district revenues“ he says.
Apart from menstrual hygiene to girls in schools, the district chairpersons have also complained urging TGNP Mtandao to use the same force to address issues around agriculture. Recently the sector has been left behind by the government and it affects women who are the main actors.
Putting aside their political parties affiliations, the councils from the two districts agreed to set fund from internal sources to ensure that their budgets are very gender sensitive.
” we agree it is inevitable to develop if we are no being fair to some groups in the communities mostly women” they all say. 

Monday, November 27, 2017

Je unazijua siku 16 za kupinga ukatili wa Kijinsia?

Siku 16 za kupinga ukatili wa Kijinsia ni kampeni  ya Kimataifa  inayoongozwa na Kituo cha Kimataifa cha wanawake katika uongozi tangu mwaka 1991. Chimbuko la 16 za kupinga unyanyasaji wa kijinsia na mauaji ya kinyama ya kina dada wa Mirabelle yaliyofanyika nchini Dominica mwaka 1960. Mwaka 1991 Umoja wa Mataifa (UN) ulichagua Novemba 25 iwe siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukatili wa Kijinsia ambapo kilele chake huadhimishwa Desemba 10 ya kila mwaka.
Siku hizi 16 hutoa mwanga wa uelewa kwa jamii kwa siku nyingine muhimu kama Novemba 29 ambapo ni siku ya Kimataifa ya watetezi wa haki za Wanawake , Desemba 1,Siku ya Ukimwi Duniani, Desemba 6 siku ya mauaji ya kikatili ya Montreal 1989 (wanawake 14 waliuawa na mtu aliyekuwa anawachukia wanawake) na Desemba 10 siku ya Haki za Binadamu Duniani.
Lengo la maadhimisho haya ni kutoa fursa kwa wanawake, wanaume,Vijana wa kike na kiume na wanaharakati wengine kukuza uelewa wa umma juu ya mchango wa wanawake katika maendeleo na kutafakari matokeo ya harakati za ukombozi wa mwanamke Kimapinduzi sambamba na kutafakari mafanikio hayo kwa miaka 20 ya tangu kuanzishwa kwa harakati hizo nchini mwaka 1993 TGNP ilipoanza.
Tutakumbuka kuwa maadhimisho haya huanza Novemba 25, ambayo ni siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukatili dhidi ya Wanawake hadi Desemba 10 ambayo ni Siku ya Haki za Binadamu Ulimwenguni.  Siku hizi 16, TGNP na mashirika mengine yanayotetea haki, usawa wa Kijinsia na ulinzi dhidi ya makundi yaliyoko pambezoni hasa wanawake  wanaadhimisha kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii, ikiwepo kusikiliza visa mkasa, kutoa shuhuda hadharani, kushirikina na mamlaka za kiserikali na dola latika kuunganisha nguvu kutokomeza kabisa Uakatili wa Kijinsia

Thursday, November 23, 2017

Vumilia,
Secondary scholar,
Tanzania

At just 13-years-old, Vumilia had supported herself through primary school, earning money collecting and selling firewood. But after completing primary school, she despaired in the knowledge that she could not progress to secondary school. Like many families, the cost of uniforms, books, shoes and school fees were beyond Vumilia’s parents’ means. And, to make matters worse, the nearest school was 10km away.  

Her grandmother said that Vumilia felt helpless, refusing to eat and crying every day. “She would ask me ‘Why is there no one to support me?’ I could only say, ‘You see how our life is. We cannot afford your school fees.’” All Vumilia could do was wait.
Before becoming a boarder, Vumilia started her 10 km walk to school at 4.30 a.m. every dayVumilia used to start her 10 km walk to school at 4.30 a.m. every day
Vumilia and her classmates complete forms identifying their school needs to CamfedVumilia and her classmates complete forms identifying their school needs to Camfed
After weeks of anxiety, and at her grandmother’s urging, Vumilia left home at 4:30 a.m. and began the long journey to secondary school. She had no uniform, no stationery, no pencils and no ability to pay her school fees. She had only the love of learning, and a hope that someone could help. When she arrived, she was crying and scared. Fortunately, the local secondary school is a Camfed partner school. Upon learning of Vumilia’s struggles, the head of the school provided her with a uniform, shoes and supplies from Camfed, allowing her to start school that very day. A week later, Vumilia was also invited to stay at the school’s makeshift dormitory space, where 140 other girls were also lodging to avoid long daily walks to school.
Upon learning that Vumilia would be supported through school, and would no longer have to endure the long daily walks, her grandmother was overjoyed. “We are very grateful,” she said. “She won’t live like this anymore.”

CHINA NA TANZANIA KUENDELEA KUSHIRIKIANA KATIKA SEKTA YA ELIMU.

Jamhuri ya Watu wa China imesema itaendela kuisaidia Tanzania katika sekta ya Elimu kwenye eneo la Elimu ya Juu, utoaji wa mafunzo ya Ufundi pamoja na kusaidia garama za uchapishaji wa vitabu vya masomo ya Sayansi kwa ajili ya shule za msingi na Sekondari.
Kauli hiyo imetolewa na Balozi wa wa Jamuhuri ya watu wa China Wang Ke wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako katika ofisi ndogo zilizopo jijini Dar es Saalam.
Katika mazungumzo yao Waziri Ndalichako amesema gharama za uchapaji wa Vitabu ni kubwa hivyo ni vyema Wizara ikawa na mitambo yake ya kuchapia vitabu ambayo itakuwa endelevu suala ambalo Balozi Wang Ke amekubaliana nalo na kuitaka Wizara kuandaa maombi ya mashine hiyo ili ubalozi uweze kufanyia kazi.
Jamhuri ya Watu wa China imesema itaendela kuisaidia Tanzania katika sekta ya Elimu kwenye eneo la Elimu ya Juu, utoaji wa mafunzo ya Ufundi pamoja na kusaidia garama za uchapishaji wa vitabu vya masomo ya Sayansi kwa ajili ya shule za msingi na Sekondari.
Kauli hiyo imetolewa na Balozi wa wa Jamuhuri ya watu wa China Wang Ke wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako katika ofisi ndogo zilizopo jijini Dar es Saalam.
Katika mazungumzo yao Waziri Ndalichako amesema gharama za uchapaji wa Vitabu ni kubwa hivyo ni vyema Wizara ikawa na mitambo yake ya kuchapia vitabu ambayo itakuwa endelevu suala ambalo Balozi Wang Ke amekubaliana nalo na kuitaka Wizara kuandaa maombi ya mashine hiyo ili ubalozi uweze kufanyia kazi.