Friday, October 20, 2017

Baraza la mitihani Tanzania yatangazoa mataokeo ya mtihani wa darasa la saba uliofanyika mwezi septemba mwaka huu Mkoa wa Katavi bado unaendelea kuwepo kwenye oradha ya Mikoa 10 bora kwani umeshika nafasi ya 9 kwa kuwa na Wilaya mbili ambazo ni Mpanda ikishika nafasi ya 9 na Wilaya ya Mlele ikishikanafasi ya 6 kwa pamoja tuwapongeze walimu na wadau mbalimbali walioweza kushiriki kwa namna moja au nyingine kufanikisha ufaulu huo.